Healthy
Madini haya ni muhimu sana mwili kwa ajili ya kuzuia
magonjwa mbalimbali ikiwemo magonjwa ya moyo, iwe high or low blood pressure.
Pia Potassium inasaidia utunzwaji wa maji mwilini, kujenga na kuponya muscles {Misuli},
pia Potassium ni madini yanayotumika kusaidia kuponya magonjwa ya Kidney Stones, Gout, Maumivu ya mgongo, Maumivu ya Kichwa, na mengineyo.
Ndizi moja imebeba 3 grams za Fibes {Nyuzi nyuzi} zinazo
saidia sana usagaji wa chakula tumboni. Itakupunguzia kuvimbiwa, kujawa na gesi tumboni, itakusaidia kupata haja kubwa.
Fibes hizi zinasaidia kusafisha
utumbo wako kwa kutoa uchafu wote kwenye utumbo mkubwa. Pia wataalamu
wameongezea umuhimu wa fiber kuwa inalinda magonjwa
yanayonyemelea moyo, cardiac arrest, and stroke.
Ndizi ina Amino Acid ambayo huenda
kijana.
Mbali na Snack nyingine nyingi ambazo kwanza zimebeba
Calories nyingi, Ndizi imebeba Calories
100-110 inategemeana na
ukubwa wake, ipo Healthy inakupa virutubisho ambavyo mwili unahitaji kwa siku,
rahisi kubeba popote uendapo, na pia bei yake pia ni rahisi kulinganisha na
aina nyingine za Snack.
TUTAKULETEA MAPISHI YA MKATE MZURI WA NDIZI
Why Banana Good For You?
Faida Za Ndizi.
Mbali na madini mengi yaliyomo ndani ya ndizi kama nilivyoorodhesha hapo chini, lakini inajulikana kama ni
tunda lililo na ladha ya sukari ambayo inahitajika mwilini si kwa wanamazoezi
tu ambao hutumia sana ndizi kabla na baada ya mazoezi, bali ndizi ni muhimu kwa
kila mtu. Imebeba asilimia kubwa ya madini ya Potassium, Magnesium, fiber ambayo huhitajika mwilini
Inaweza ikawa tunda zuri lakini si kwa kila
mtu hasa wale wenye ugonjwa wa Kisukari.
Virutubisho Vilivyomo Kwenye
Ndizi.
- 110 calories
- .5 grams of fat
- 27 grams of carbohydrates
- 14 grams of sugar
- 3 grams of fiber
- 1 gram of protein
- 25% vitamin B6
- 16% manganese
- 14% vitamin C
- 12% potassium
- 12% fiber
- 10% copper
- 10% biotin
- 8% magnesium
Faida Za Ndizi.
1. Huongeza Nguvu:-
Sukari iliyopo ndani ya Ndizi husaidia kuongeza nguvu mwilini. Pia inashauriwa kutumiwa baada ya mazoezi ili kutibu na kujenga misuli, na kukuongezea nguvu zaidi.
2. Ina
Madini Muhimu Ya Potassium:-
Madini haya ni muhimu sana mwili kwa ajili ya kuzuia
magonjwa mbalimbali ikiwemo magonjwa ya moyo, iwe high or low blood pressure.
Pia Potassium inasaidia utunzwaji wa maji mwilini, kujenga na kuponya muscles {Misuli},
pia Potassium ni madini yanayotumika kusaidia kuponya magonjwa ya Kidney Stones, Gout, Maumivu ya mgongo, Maumivu ya Kichwa, na mengineyo.
3. Husaidia Usagaji
wa Chakula Tumboni:-
Kwa wanaotaka kupungua, Fiber
hizo zilizopo kwenye ndizi zinauwezo wa kukupunguzia njaa ya mara kwa mara.
4. Kukufanya Uwe
Mwenye Furaha:-
moja kwa moja na kuathiri “Happy
Hormones” ambayo inakufanya unakuwa
na furaha
na kukuondolea simanzi. Itakuongezea nguvu kwa kuondoa uchovu, kwa kutumia antioxidants zilizopo kwenye ndizi.
5.Ina Madini Ya Manganese ;-
Madini hayo yanasaidia sana
kuendelea kujenga na kuboresha Ubongo, Mifupa na Ngozi. Kukufanya kuendelea
kuonekana
kijana.
6. Affordable,
Portable, Low in Calorie Snack Choice ;-
Mbali na Snack nyingine nyingi ambazo kwanza zimebeba
Calories nyingi, Ndizi imebeba Calories
100-110 inategemeana na
ukubwa wake, ipo Healthy inakupa virutubisho ambavyo mwili unahitaji kwa siku,
rahisi kubeba popote uendapo, na pia bei yake pia ni rahisi kulinganisha na
aina nyingine za Snack.





0 comments: