Healthy

Jifunze Mazoezi kwa Afya

Thursday, May 03, 2018 naomimwakanyamale 0 Comments

Mazoezi ni Muhimu kwa afya yako. Sio lazima uende gym.
Waweza kufanyia hata nyumbani. Asubuhi uamkapo au jioni
baada ya shuguli za kila siku.Kama ungependa kuanza na
hujui pakuanzia. Angalia pichani utapata muongozo wa nini
chakufanya kila siku. Fuatiliza siku na kitu gani cha kufanya na
jinsi ya ufanyaji kutoka kwenye cartoon pembeni ya siku.
Karibu.


0 comments: